Staa wa soka Mario Balotelli
anamiliki headlines kwenye internet sasa hivi baada ya moyo wake
kuanguka kimapenzi kwa binti mrembo wa Belgium anaitwa Fanny Neguesha
ambae amemtaja kama Mwanamke wa kwanza anaejisikia huru kuwa nae huu
ukiwa ni mwezi wa sita toka wameanza kuwa pamoja.
Pamoja na hilo, Balotelli
kasema bado anasubiri vipimo vya DNA ili kufahamu kama ni baba wa mtoto
wa kike wa mpenzi wake wa zamani Tv Star/model Rafaella Fico,
akisisitiza kwamba hana mpango wa kukimbia huyo mtoto, atapenda pia
kukutana na kuzungumza na Rafaella.
0 comments:
Post a Comment